Isaiah 17:1-3
Neno Dhidi Ya Dameski
1 aNeno kuhusu Dameski: “Tazama, Dameski haitakuwa tena mjibali itakuwa lundo la magofu.
2 bMiji ya Aroeri itaachwa
na itaachiwa mifugo ambayo italala huko,
bila yeyote wa kuyaogopesha.
3 cMji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu,
nao uweza wa ufalme kutoka Dameski;
mabaki ya Aramu yatakuwa
kama utukufu wa Waisraeli,”
asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Copyright information for
SwhKC